Top Songs By Reuben Kigame
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Reuben Kigame
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Reuben Kigame
Songwriter
Lyrics
Nitayainua Macho Yangu Nitazame milima msaada wangu baba utatoka wapi msaada wangu katika bwana mbingu na nchi ni zake, asiuache mguu wako usogezwe
Hatasinzia hatalala yeye mlinzi wangu Atanilinda mabaya yote na nafsi yangu
Nitayainua Macho Yangu Nitazame milima msaada wangu baba utatoka wapi msaada wangu katika bwana mbingu na nchi ni zake, asiuache mguu wako usogezwe Hatasinzia hatalala yeye mlinzi wangu Atanilinda mabaya yote na nafsi yangu
Maisha haya nayakabidhi kwako Mola wangu eeeh, Maisha yangu duniani yatawale wewe peke yako usinitupe
Sifa na utukufu eeeh yatawale wewe peke yako eeeh baba;
Nitayainua Macho Yangu Nitazame milima msaada wangu baba utatoka wapi msaada wangu katika bwana mbingu na nchi ni zake asiuache mguu wako usogezwe Hatasinzia hatalala yeye mlinzi wangu Atanilinda na mabaya yote na nafsi yangu ×2
2;
Kama leo nikifa kila mtu atanisifu kwa lake, Ametutoka msanii wetu tuliyempenda, Eti pengo la Kanumba ataliziba Nani eeeh...
Hata hao wanaonichukia watabeba jeneza langu kwa nyimbo na Sala za huzuni eeeh
Wenzangu leo niko hai twachukiana sana
Usoni twacheka Moyoni ni vita vikali eeeh
Tuambiane tusameheane tuishi kwa Amani upendo, Furaha yetu hadi mbinguni furaha ile ya milele eeeh
(Kanumba Talking)
Eeeh Mola mimi masikini mnyonge mmoja, kupigana na jeshi la watu 1000 simuwezi hata mmoja...
3;
Tusiposameheana tutasameheana lini, tukishakufa eeeh;
Nitayainua Macho Yangu Nitazame milima msaada wangu baba utatoka wapi msaada wangu katika bwana mbingu na nchi ni zake asiuache mguu wako usogezwe Hatasinzia hatalala yeye mlinzi wangu Atanilinda na mabaya yote na nafsi yangu
Sema na moyo wangu baba sema na maisha yangu kanumba eeeh Nitaridhika mimi masikini siwezi pigana weee...;
Nitayainua Macho Yangu Nitazame milima, Msaada wangu baba utatoka wapi msaada wangu katika bwana mbingu na nchi ni zake asiuache mguu wako usogezwe Hatasinzia hatalala yeye mlinzi wangu Atanilinda mabaya yote na nafsi yangu ×2
Lyrics powered by www.musixmatch.com