Lyrics

Yup Say Naitwa mangi Oheeee ooh la la Mhmm mhm oh mama oh la la la Sio ungwana Sio maana Nikikubali haiwezi kuwa sawa Hauna uwana hauna lovee Uliniacha mi na bomokewa Ungesubiri muda ungeungojea Kwani ungekosea Kwenye aya matunda ungekuwa mbolea Yote yasinge tokea We uliweka vikwazo Ohhh wee ohh weee Ukutazama mwanzo Ohhh wee oheeee So baby why why why why why Ona why why why why Ooh baby why why why why why So baby why why why why why So baby why why why why why Why why why why why why Ona nanaaa aaah Kipindi cha majaribu uliharibu uliacha nipate tabu Leo waja karibu bila hauiba tena macho makavu Mwenyewe ukutaka hii safari ikufanyie jambo wewe Usukani ukageuza na gari ukaona ujirudie We uliweka vikwazo Ohhh wee ohh weee Ukutazama mwanzo Ohhh wee oheeee So baby why why why why why Ona why why why why Ooh baby why why why why why So baby why why why why why So baby why why why why why Why why why why why why
Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out