Similar Songs
Credits
COMPOSITION & LYRICS
Ibrahim Jafari Mzonge
Songwriter
Clement Alex Mwamakula
Songwriter
Lyrics
(Jacko baby)
Hatuachani ng'o
Mimi na yeye
Nampenda ananipenda
Na ye' ndio Panadol
Kutwa mara tatu
Mwenzenu mi' napendwa
Wape taarifa zao, (aah)
Upendo wetu sio wa mitandao, (aah)
Sio shida zetu, shida zao, (aah)
Wachonge viti wakae vikao
Hatuachani kamwe
(Ng'o, ng'o, ng'o)
Mmh
(Ng'o, ng'o, ng'o)
Mmh
(Ng'o ng'o ng'o)
Hatuachani kamwe
(Ng'o, ng'o, ng'o)
Mmh
(Ng'o, ng'o, ng'o)
Mmh
Ng'o, ng'o, ng'o
Moyo umeujaza nafasi
Wengine siti hawapati
Ma photo, photo snapchat, yeah
Pendo la tembelea chaki
Penzi mashallah halina mfano
Liko nga, nga, nga kamili gado
Ndio kwanza naenjoy huba lako
So tuliza boli mi' ni wako
Wape taarifa zao, (aah)
Upendo wetu sio wa mitandao, (aah)
Sio shida zetu, shida zao, (aah)
Wachonge viti wakae vikao
Hatuachani kamwe
(Ng'o, ng'o, ng'o)
Mmh
(Ng'o ng'o ng'o)
Mmh
(Ng'o, ng'o, ng'o)
Hatuachani kamwe
(Ng'o ng'o ng'o)
Mmh
(Ng'o ng'o ng'o)
Mmh
Ng'o, ng'o, ng'o
Lyrics powered by www.musixmatch.com