Top Songs By Jackson Yusuph
Credits
PERFORMING ARTISTS
Jackson Yusuph
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Jackson Yusuph
Songwriter
Lyrics
Kwanza mshukuru Mungu kwa vile ulivyo
Wapo wanao tamanii iih kuwa kama vile wewe
Kwanini wajiona aaah unashida nyingi sana
Wakati kuna wenye shida zaidi yako wewe
Shukuru kwa kila jambo maana ni mapenzi yake
Wapo wengi jua likizama
Wanaanza kufikiria aaah
Nitaenda wapi iiih
Nitakula nini iih
Nitakala wapii iiih
Wapo wengi jua likizama
Wanaanza kufikiria aaah
Nitaenda wapi iiih
Nitakula nini iih
Nitakala wapii iiih, (Heiyeeee)
Chorus
Usikate tamaaa
(Wewe)
Siku yako ipoooo
(Ipo hooh)
Wewe jipe moyo ooh
Utabarikiwa aaaah
(Usikate tamaa aaah)
Usikate tamaaa
(Wewe)
Siku yako ipo
(Siku yako ipooo ooh)
Wewe jipemoyo ooh
(Utabarikiwa)
Utabarikiwa aaaah, Utabarikiwa
(Utainuliwa aaah)
Utainuliwa aaaah, utainuliwa aaah
Kuna kipindi unawaza (Unawaza)
Kama Mungu hakuoni iih (Heiiye)
Muda mwingine wafikiri (Wafikiri)
Umeumbiwa mateso ooh
Ati majumba mazuri (Nononono)
Wameumbiww wengine eeeh
Magari ya kifahari waliumbiwa wakuu tu (Siyo kweli)
Na majumba mazuri (Yeyeyey) waliumbiwa maraisi
Maisha mazuri iiih tumeumbiwa sote eeh
Kila mtu anawakati wake
Usijihukumu bureeee
Usijiue buree
Subiri muda wako ooh utabarikiwa aaah
Maisha mazuri iiih tumeumbiwa sote eeh
Kila mtu anawakati wake
Usijihukumu bureeee
Usijiue buree
Subiri muda wako ooh utabarikiwa aaah (Heeee)
Usikate tamaaa
(Wewe)
Siku yako ipoooo
(Ipo hooh)
Wewe jipe moyo ooh
Utabarikiwa aaaah
(Usikate tamaa aaah)
Usikate tamaaa
(Wewe)
Siku yako ipo
(Siku yako ipooo ooh)
Wewe jipemoyo ooh
(Utabarikiwa)
Utabarikiwa aaaah, Utabarikiwa
(Utainuliwa aaah)
Utainuliwa aaaah, utainuliwa aaah
Ooooh oooooh ooooh
Eeeeh eeeeh eeeeh eeeeeh
Ooooh oooh oooh oooh
Ooooh oooohh oooooh
Eeeh eeeeh eeeeh
Writer(s): Jackson Yusuph
Lyrics powered by www.musixmatch.com