Top Songs By Madini Classic
Similar Songs
Lyrics
Mwanzo wajue yangu hali, ata kwa miguu sina kiatu, nn'achampaliii hii
Waambie wazazi wasijali, na vitumbo wapige sukuma ugaliii hii
Ooooh na kukamua sikufunzwa nmezoea chai rangi
Eeeeh sina njaro za kisuti, vibwanda za makuti, ndo rahisi kupata
Nikaribishe tena usiogope
Na uwe mjasiri mariamu
Na siri yangu unitunzie
Nikaribishe tena usiogope
Kabla jogoo kuwika, ntakua nishafika
Maana sina nauli, baiskeli tu.
Ata kwa kuvaa, sijafunga mkanda mama
Sababu ya kiu na njaa
Na tena sina salio kwa simu, nikifika ntatuma please call me, usione zarau
Ooooh na kukamua sikufunzwa nmezoea chai rangi
Eeeeh sina njaro za kisuti, vibwanda za makuti, ndo rahisi kupata
Nikaribishe tena usiogope
Na uwe mjasiri mariamu
Na siri yangu unitunzie
Nikaribishe tena usiogope
Nikaribishe kama mzigo flani, yenye mali za thamani ndani
Waelezee unanipenda kwa sana usiponiona roho inasimama
Nikaribishe kama mzigo flani, yenye mali za thamani ndani
Waelezee unanipenda kwa sana usiponiona roho inasimama
Natena wadanganye kwako mi ndo supu tamu, lisilohitaji hata kachumbari
Twenze sare na tuwatoe hamu, walosema bila pesa mapenzi hatari
Nikaribishe tena usiogope
Na uwe mjasiri mariamu
Na siri yangu unitunzie
Nikaribishe tena usiogope
Anaitwa kevin... Asante sana p
Lyrics powered by www.musixmatch.com